RAIS ZFA AKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI KISIWANI PEMBA
RAIS wa Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA) Ravia Idarous Faina, akikabidhi jezi na mipira miwili mmoja kati ya viongozi wa Timu ya Elevan Star baada ya kuiba mshindi wa kwanza katika ligi daraja la Tatu Wilaya ya Chake Chake.
No comments:
Post a Comment