![]() |
Kikosi cha Zimamoto kilichoanza leo katika mchezo na JKU mchezo ambao wameibuka na ushindi wa gol 1-0. |
Katika mchezo huo ambao ulikuwa na ushindani kwa pande zote Zimamoto walijipatia goli mnamo 35 kupitia kwa mchezaji wake Hassan Haji.
Nako katika kiwanja cha Gombani kisiwani Pemba timu ya Okapi nayo ikaanza vyema hatua hiyo baada yakuifunga timu ya Kizimbani jumla ya magol 2-1.
![]() |
Kikosi cha JKU |
![]() |
Ratiba ya michezo ya hatua ya nane bora |
No comments:
Post a Comment