Mshambuliaji wa Timu ya Zimamoto Yussuf Ramadhani akimpita beki wa Timu ya JKU Edward Peter |
Mshambuliaji wa Timu ya Zimamoto Ibrahim Hamad Hilika akimpita beki wa Timu ya JKU Mwinyijuma Mwinyi, wakati wa mchezo wao wa ligi kuu ya Zanzibar Nane Bora uliofanyika uwanja wa amaan |
Kocha Mkuu wa Timu ya JKU Mohamed Seif King akifuatilia mchezo kati ya timu yake na timu ya Zimamoto mchezo ambao JKU wamekubali kipigo cha goli 1-0. |
Baadhi ya washabiki waliohudhuria katika mchezo wa ligi kuu soka ya Zanzibar kati ya JKU na Zimamoto |
Mshambuliaji wa timu ya JKU Suweid Juma mwenye mpira akijiandaa kumpita beki wa timu ya Zimamoto Suleiman Said. |
No comments:
Post a Comment