Kituo hicho cha kulelea watoto kisoka kinacholewa na Kijo Nadri Nyoni kimepania kufanya vyema katika kuimarisha vipaji vya watoto ambapo kwa sasa wapo katika mikakati yakukamilisha ujenzi wa shule kwa ajili ya vijana waliopo katika kituo hicho.
![]() |
KIKOSI CHA BLACK LION FOOTBALL ACADEMY |
![]() |
KOCHA WA KITUO CHA KULELEA WATOTO CHA BLACK LION FOOTBALL ACADEMY KIJO NADRI NYONI ALIEVA KAPELO AKIFUATILIA TIMU YAKE. |
![]() |
WACHEZAJI WA BLACK LION FOOTBALL ACADEMY |
No comments:
Post a Comment