Magol Hafidh
Barik (Fii) dakika ya 67, Khamis Mussa "Rais" dakika ya 74 na Juma Ali "Mess" dakika ya 89 yameifanya
Jang’ombe boys kuondoka kiwanja kidedea baada yakuwafungwa mahasimu wao wa jadi
timu ya taifa ya jang’ombe.
![]() |
Khamis Mussa rais mfungaji wa goli la pili . |
Katika
mchezo huo uliokuwa na ushindani wa hali ya juu kwa pande zote huku ukitawaliwa
na ubabae wa hapa na pale jambo ambalo lilipelekea muamuzi wa mchezo huo Mfaume
Ali Nassor kuwatoa nje kwa kadi nyekundu mshambuliaji wa Jang’ombe boys Rashid
Mohd mnamo Dakika ya 24 na na mshambuliaji Ali Badru wa Taifa mnao dakika ya 26 kutokana
na utovu wa nidhamu.
![]() |
Mashabiki wa taifa ya Jang'ombe |
Matokeo
hayo inafanya timu ya jang’ombe boys kukaa kileleni mwa ligi hiyo wakiwa na
alama tatu sawa na Okapi,Jamhuri na Zimamoto,boys wakiwazidi wapinzani wao kwa
uwiano mzr wa magol yakufungwa ambapo tayari wamshatia kambani magol 3 huu
katika nyavu zake ikiwa hawajafungwa goli hata mmoja.
![]() |
Kikosi cah new king |
No comments:
Post a Comment