Kocha msaidizi
wa timu ya Simba Mayanja amesema umaliziaji umekuwa tatizo katika kikosi chao
jambo ambalo kwa sasa mwalimu analifanyia kazi kwa nguvu zote.
Kocha huyo
ameyasema hayo baada ya sare yakutokufunga na timu ya Mlandege ikiwa ni
miongoni mwa michezo ya kirafiki kwa timu hiyo iliyopo kisiwani kujiandaa na
mchezo wa ngao ya hisani dhidi ya Yanga.
Amesema licha
yakutengeneza nafasi kadhaa lakini bado safu yake ya usambuliaji inaoneka haipo
makini sana hivyo wanazitumia simu hizi zilizosalia kurekebisha matatizo hayo.
No comments:
Post a Comment