Saturday, 22 July 2017

Feudal Riyamb Lucas(Nado) afunga ndoa na Miembeni City.

Timu ya Miembeni City imefanya usajili wao wa kwanza kwa kumsajili Feudal Riyamb Lucas kutoka timu ya Chukwani United.
Rais wa timu ya Miembeni City Seif Kombo akisalimiana na mchezaji mpya wa timu hiyo Feudal baada yakusaini kandarasi ya miaka mitatu na timu hiyo.

Feudal Riyamb wakatikati akisalimia na aliyekuwa mkurugenzi wa ufundi wa Miembeni City ambae ni mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa timu hiyo Ali Muhamad.


Nyota mpya wa Miembeni City Feudal akisaini kandarasi ya miaka mitatu kuitumikia Miembeni City mbele ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa timu hiyo.

No comments:

Post a Comment