Sunday, 16 July 2017

MWENGE KUWAKARIBISHA ZIMAMOTO ,GOMBANI .

Mzunguko wa 6 wa ligi kuu soka ya Zanzibar hatua ya 8 bora utaanza leo Jumatatu ya July 17, 2017 kwa kupigwa mchezo mmoja kati ya Mwenge watacheza na Zimamoto katika uwanja wa Gombani saa10:00 za jioni.



Kesho  Jumanne ya July 18, 2017 mechi nyengine 3 ambapo Okapi watasukumana na Taifa ya Jang’ombe katika uwanja wa Gombani saa 10:00 za jioni, na katika uwanja wa Amaan JKU watakipiga na Kizimbani saa 10:00 za jioni, kisha saa 1:00 za usiku Jang'ombe boys dhidi ya Jamhuri.

BAADHI YA PICHA ZA MATOKEO KATIKA MCHEZO WA LIGI KUU KATI YA JAMHURI NA TAIFA YA JANG'OMBE.




No comments:

Post a Comment