Aliyekuwa
mchezaji wa timu ya taifa ya Zanzibar (Zanzibar heroes) sambamba na timu ya
taifa ya Tanzania Abdumajham amefariki dunia baada yakusumbuliwa na maradhi kwa
muda mrefu.
![]() |
Marehem Abdulmajiham aliekamapata mkongojo enzi za uhai wake. |
Nyota huyo
ambae ametamba akiwa na timu ya Vikokoni na Cosmos amefariki dunia mnamo majira
ya saa moja usiku wa leo.
Nyota huyo
anatarajiwa kuzikwa hapo kesho.
Mweneyezi amjalie kauli thabit na amjalia awe miongoni mwa waja wema. Amin.
Endelea
kufuatilia mtandao huu ilikujua historia ya nyota .
No comments:
Post a Comment