Wednesday, 4 October 2017

Nyota Zanzibar heroes ,taifa star afariki dunia.

Aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya Zanzibar (Zanzibar heroes) sambamba na timu ya taifa ya Tanzania Abdumajham amefariki dunia baada yakusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.
Marehem Abdulmajiham aliekamapata mkongojo enzi za uhai wake.

Nyota huyo ambae ametamba akiwa na timu ya Vikokoni na Cosmos amefariki dunia mnamo majira ya saa moja usiku wa leo.
Nyota huyo anatarajiwa kuzikwa hapo kesho.

Mweneyezi amjalie kauli thabit na amjalia awe miongoni mwa waja wema. Amin.


Endelea kufuatilia mtandao huu ilikujua historia ya nyota .

No comments:

Post a Comment