Ligi daraja la pili taifa Unguja inatarajiwa kuanza
kutimua vumbi lake jioni ya leo ambapo michezo minne ya inatarajiwa
kuvurumishwa katika viwanja vine tofauti.
Katika kiwanja cha Ngome Fuoni Zantex itakipiga na
Bweleo ,huku katika kiwanja cha Tazari New King itaikaribisha New book.
Sungusungu BZL itaoneshana kazi na Mchangani na
katika kiwanja cha Maungani Maungani itakipiga na Kwerekwe City.
No comments:
Post a Comment