Wednesday, 10 May 2017

KWEREKWE CITY, AMANI FRESH MZIGONI LEO

Timu ya kwerekwe City na timu ya Amani fresh wataoneshana kazi jioni ya leo katika dimba Amani ikiwa ni muendelezo wa michezo ya hatua ya nne bora ligi daraja la pili wilaya ya mjini Unguja
                                                                                                                                                 Mchezohuo unatarajiwa kuwa na ushindani kwa timu zote mbili ilikujihakikishia hatua ya kutinga mabingwa wa mawilaya kutafuta tiketi yakushiruiki ligi daraja la pili taifa kwa msimu ujao wa ligi.

                   
               Timu zote mbili zinajitupa katika dimba hilo la Amani wakiwa na lama 1 baada yakutoka sare katika michezo iliyopita ambapo Kwerekwe City ilitoka sare yakufungana goli 1-1 na Gulioni huku Amani fresh akitoka sare na mlande

Kikosi cha Kwerekwe City
Wachezaji wa Amani Fresh

No comments:

Post a Comment