Katika mchezo huo uliokuwa na ushindani kwa timu zote huku zikiwa na mashambulizi ya zamu hadi kipenga cha muamuzi Mfaume Ally kinapulizwa kuashiria kumalizika kwa mchezo huo hakuna timu iliyoona lango la mweziwe.
![]() |
Kikosi cha Jang'ombe Boys |
![]() |
KIKOSI CHA ZIMAMOTO |
Ligi kuu soka ya Zanzibar hatua ya nane bora inaendelea kesho ambapo mnamo majira ya saa kumi alasiri katika uwanja wa Amani Taifa ya Jang'ombe itakipiga na timu ya JKU huku katika dimba la Gombani kisiwani Pemba Okapi itakipiga na Jamhuri.
No comments:
Post a Comment