Timu ya Jang’ombe boys imewasili kisiwani Pemba mchana wa jana tayari kwa ajili ya michezo yake ya ligi kuu soka ya Zanzibar inayoendelea wiki hii.
![]() |
| Baadhi ya washabiki waliojitokeza kuilaki timu ya Jang'ombe boys kisiwani Pemba. |
Boys ambayo imewasili katika bandari ya mkoani mnamo majira ya saa saba mchana huku ikipokelewa na mashabiki lukuki bandaria hapo ambao walijitokeza kuilaki timu hiyo.
Akizungumza nasi baada yakuwasili bandarini hapo rais wa mashabiki wa timu ya Jang’ombe boys kisiwani Pemba Hussein Shaaban amesema amefurahishwa na ujio wa timu yao hiyo nawatahakikisha wanaisapoti ilikufanya vyema katika michezo yake ya ligi kuu soka itakayochezwa kisiwani hapo.
![]() |
| Baadhi ya wachezaji wa timu ya Jang'ombe boys wakiwasili katika bandari ya mkoani kisiwani Pemba. |


No comments:
Post a Comment