Thursday, 28 September 2017

MAFUNZO,JKU KUFUNGUA PAZIA LIGI KUU SOKA YA ZANZIBAR.

Ligi kuu soka ya Zanzibar inatarajiwa kuanza kutimua vumbi lake Jumanne October 3 ambapo vilabu vinaendelea kujinoa nkujiandaa na ligi hiyo.



Mchezo wa ufunguzi wa ligi hiyo utazikutanisha timu ya JKU na timu ya Mafunzo mnamo majira ya saa 8 mchana huku mnamo majira ya saa kumi alasiri Jang’ombe boys itakimenya na KMKM.












No comments:

Post a Comment