Kamati inayosimamia mashindano ya soka la ufukweni visiwani
Zanzibar imekabidhi mpango kazi wake kwa mwaka 2017-2020 kwa chama cha mpira wa
miguu visiwani Zanzibar.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na afisa habari wa kamati hiyo
Suleimani Ussi Mido mpango kazi huo ndio utakafuatwa katika kuendesha shughuli
zote za kamati hiyo.
Aidha Mido amesema chama cha mpira wa miguu visiwani kimetoa
baraka zote kwa kamati hiyo inayosimamia soka la ufukweni sambamba na mpango
kazi wake.
![]() |
KIWANJA CHA KUCHEZEA BEACH SOCCER |
Mpango kazi wa kamati ya mashindano ya vijana ni kama ifuatavyo.
MWEZI –JANUARY .
Mashindano ya kombe la
mapinduzi kwa vilabu vya beach soccer Zanzibar .
MWEZI-FEBRUARY .
Mafunzo ya waamuzi wa
beach soccer kwa ngazi ya zone ya mpira mashariki kwa waamuzi wa beach soccer
wa Zanzibar.
MWZI –MARCH.
Michezo ya
maonesho ya mchezo wa beach soccer mawilayani .pia kushiriki mashindano ya
beach soccer kwa nchi za ukanda wa CECAFA
MWEZI- APRIL
Usajili wa
vilabu vyote vya beach soccer kwa mrajisi wa vyama vya michezo na
club ambavyo vitashiriki katika mashindano ya amabyo yanayosimamiwa na kamati
ya beach soccer chini ya ZFA taifa Zanzibar .
MWEZI –MAY .
Kuanza kwa usajili wa
wachezaji katika vilabu na uhamisho .
MWEZI- JUNE .
Viongozi wa
kamati ya beach soccer kutembelea wilaya zote za unguja na pemba kuhamasisha
mchezo wa huo kwa kutumia timu ya taifa ya ufukwen ( sand heroes.)
MWEZI –JUNE
Kurejesha fomu za
usajili pamoja na kupitia usajili .
MWEZI-JUNE
Mkutano wa kamati ya
becach soccer pamoja na viongozi wa vilabu vyote vitakavyoshiriki ligi ya beach
soccer .
MWEZI –JUNE
Mafunzo maalumu kwa
walimu (coaches ) wa vilabu vya beach soccer juu ya kujua kanuni za na sheria
za mchezo .
MWEZI –JULY
Kuanza kwa
mashindano ya ligi ya beach soccer .
MWEZI-SPET .
Kushiriki mashindano
ya ya becach soccer yanayotayarishwa na shirikisho la mpira wa miguu
Africa CAF.
MWEZI-OCT
Kumalizika kwa ligi ya
beach soccer .
MWEZI-NOVEMBER
Mafunzo ya waamuzi na
walimu wa beach soccer ngazi ya kitaifa pamoja na walimu waliochaguliwa na
wizara ya elimu kupata mafunzo haya kupitia idara ya michezo na
utamaduni ,
MWEZI –DECEMBER .
Mashindano ya vijana (
beach soccer youth tournament ).
No comments:
Post a Comment